Kanuni ya Imani

Picha takatifu ikimuonyesha Konstantino Mkuu (katikati) na wajumbe wa Mtaguso wa kwanza wa Nisea (325) wakishika Kanuni ya Imani ya Nisea-Konstantinopoli ya mwaka 381.

Kanuni ya imani, au Ungamo la imani, au Tamko la imani, au Nasadiki (Ukristo) au Shahada (Uislamu) ni fomula iliyopangwa kwa muhtasari ili wafuasi wa dini fulani wakiri kwamba wanaamini mafundisho ya dini hiyo.


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search