Kanuni ya imani, au Ungamo la imani, au Tamko la imani, au Nasadiki (Ukristo) au Shahada (Uislamu) ni fomula iliyopangwa kwa muhtasari ili wafuasi wa dini fulani wakiri kwamba wanaamini mafundisho ya dini hiyo.
© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search