Karne ya 14


Karne ya 14 ilikuwa kipindi cha miaka mia moja kati ya 1301 hadi 1400. Kikamilifu kilianza tar. 1 Januari 1301 na kuishia 31 Desemba 1400. Namba zake zinafuata hesabu ya miaka "baada ya Kristo".

Kama kila "karne" ni kipindi kinachohesabiwa kwa hiari ya kibinadamu kwa sababu ni mgawanyo wa kalenda tu - hali halisi maendeleo na mabadiiliko makubwa hayafuati migawanyo ya kalenda ya kibinadamu.

Kuna mambo mengi yaliyotokea wakati wa karne hii.


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search