Karoti (kutoka neno la Kigiriki "karoton" kupitia Kiingereza "carrot") ni mzizi wa mkaroti (jina la kisayansi: Daucus carota) ulio na wingi wa vitamini A.
Inatumika kama mboga na kama dawa, iwe imepikwa au mbichi.
Rich TVX News Network Site
Rich TVX News Network Info
© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search