Kaunti za Kenya

Kaunti za Kenya.

Kaunti za Kenya (en: Counties of Kenya) ni maeneo ya kiutawala ya Kenya tangu kuadhimishwa kwa katiba ya mwaka 2010[1].

Katiba hiyo inaeleza kuwepo kwa kaunti 47 nchini katika mafungu 191 na 192, pamoja na ‘County Governments Act of 2012”. Kaunti hizi zilichukua nafasi za Mikoa ya Kenya. Mipaka ya kaunti iliwekwa kulingana na mipaka ya wilaya za kenya zilizokuwa zimeanzishwa kisheria mwaka wa 1992.

Mipaka ya kaunti hizo ni pia msingi wa maeneo ya uchaguzi wa mwakilishi mwanamke wa kaunti, seneta na gavana. [2][3]

  1. Article 6, Devolution and access to Services, The 2010 Constitution of Kenya
  2. Article 98, (1) (a), Membership of the Senate, the 2010 Constitution of Kenya
  3. Article 97, (1) (b) Membership of the National Assembly, The 2010 Constitution of Kenya

© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search