Kenya

Jamhuri ya Kenya
Republic of Kenya (en)
Kaulimbiu: "Harambee"
Wimbo wa taifa: "Ee Mungu Nguvu Yetu"
Mahali pa Kenya
Ramani ya Kenya
Mji mkuu
na mkubwa
Nairobi
1°16′ S 36°48′ E
Lugha rasmi
Lugha ya taifaKiswahili
Kabila (2019)
Dini (2019)
SerikaliJamhuri ya kiraisi
 • Rais
 • Naibu Rais
 • Spika wa Seneti
 • Spika wa Bunge
 • Jaji Mkuu
William Ruto
Kithure Kindiki
Amason Kingi
Moses Wetangula
Martha Koome
Eneo
 • Jumlakm2 580 367[1]
 • Maji (asilimia)2.3
Idadi ya watu
 • Kadirio la 202452,428,290 [2]
 • Sensa ya 201947 564 296[3]
PLT (PPP)Kadirio la 2025
 • JumlaOngezeko USD bilioni 401.359[4]
 • Kwa kila mtuOngezeko USD 7 523[4]
PLT (Kawaida)Kadirio la 2025
 • JumlaOngezeko USD bilioni 116.662[4]
 • Kwa kila mtuOngezeko USD 2 187[4]
HDI (2022)Ongezeko 0.601[5](ya 148)
kati
SarafuShilingi ya Kenya
Majira ya saaUTC+3
(Afrika Mashariki)
Muundo wa tarehesiku/mwezi/mwaka
Upande wa magariKushoto
Msimbo wa simu+254
Msimbo wa ISO 3166KE
Jina la kikoa.ke

Kenya ,rasmi Jamhuri ya Kenya ni nchi iliyopo Afrika Mashariki katika ikweta, kando ya Bahari ya Hindi. Kenya imepakana na Ethiopia upande wa kaskazini, Somalia upande wa kaskazini mashariki, Tanzania upande wa kusini, Uganda na Ziwa Viktoria upande wa magharibi, kisha Sudan Kusini upande wa kaskazini magharibi.Mnamo 2024 Kenya ina watu milioni 54 na kuwa nchi ya 26 kubwa duniani kwa Idadi ya watu. Mji mkuu wake mkuu na mkubwa ni Nairobi, lakini Mombasa ni mji mashuhuri pia. Ukiwa kama mji kongwe zaidi na bandari kuu iliyopo katika Kisiwa cha Mombasa. Miji mingine ni pamoja na Nakuru, Ruiru, Eldoret, na Kisumu.

Mazingira na tabianchi ya Kenya ni anuwai sana; kuna mbuga mbalimbali mnamoishi aina elfu kadhaa za wanyamapori, milima ambayo imefunikwa na theluji (kwa mfano: Mlima Kenya, chanzo cha jina “Kenya”), misitu mikubwa, maeneo ya kilimo, halijoto za wastani za Bonde la Ufa, na majangwa ya Chalbi na Nyiri.

  1. "Kenya". The World Factbook (kwa Kiingereza) (tol. la 2025). Shirika la Ujasusi la Marekani. Iliwekwa mnamo 2024-03-30. (Archived 2023 edition)
  2. Knbs. "Kenya population 2024" (kwa Kiingereza). Iliwekwa mnamo 2025-04-02.
  3. "2019 Kenya Population and Housing Census Volume IV: Distribution of Population by Socio-Economic Characteristics". Kenya National Bureau of Statistics. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 5 Juni 2020. Iliwekwa mnamo 24 Machi 2020.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
  4. 4.0 4.1 4.2 4.3 "World Economic Outlook Database, October 2024 Edition. (Kenya)". IMF.org. International Monetary Fund. Oktoba 2024. Iliwekwa mnamo 2025-03-16.
  5. "Human Development Report 2023/24" (PDF) (kwa Kiingereza). Mradi wa Maendeleo wa Umoja wa Mataifa. 13 Machi 2024. uk. 289. Iliwekwa mnamo 13 Machi 2024.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)

© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search