Kiingereza

Buluu nyeusi: Nchi ambako Kiingereza ni lugha ya kwanza ya wananchi wengi;
buluu nyeupe: nchi ambako Kiingereza ni lugha rasmi lakini si lugha ya kwanza ya watu wengi.
EN (ISO 639-1)

Kiingereza ni lugha ya jamii ya Kigermanik cha Magharibi iliyokua nchini Uingereza kwa muda wa miaka 1,400.

Leo, zaidi ya wasemaji milioni mia nne duniani wanazumgumza Kiingereza kama lugha ya kwanza. Watu wengi zaidi wanazumgumza Kiingereza kama lugha ya pili, kwa sababu ni muhimu sana kwenye nyanja za mawasiliano, sayansi na uchumi wa kimataifa.


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search