Kijerumaniki

Lugha za Kijerumaniki ni kikundi cha lugha zenye asili ya Ulaya ya Kaskazini.

Lugha za Kijerumaniki zenye wasemaji wengi ni Kiingereza (milioni 380) na Kijerumani (milioni 120). Lugha nyingine za Kijerumaniki ni lugha za Skandinavia, halafu Kiholanzi na Kiafrikaans wa Afrika Kusini.


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search