Kilutos

Kilutos ni lugha ya Kinilo-Sahara nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati na Chad inayozungumzwa na Walutos. Mwaka wa 1996 idadi ya wasemaji wa Kilutos nchini Afrika ya Kati imehesabiwa kuwa watu 17,000. Pia kuna wasemaji 1980 nchini Chad. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kilutos iko katika kundi la Kibongo-Bagirmi.


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search