Kimbangi

Kimbangi ni lugha ya Kiniger-Kongo nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati inayozungumzwa na Wambangi. Mwaka wa 1996 idadi ya wasemaji wa Kimbangi imehesabiwa kuwa watu 2750. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kimbangi iko katika kundi la Kiadamawa-Ubangi.


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search