Jiji la Kisii | |
Mahali pa mji wa Kisii katika Kenya |
|
Majiranukta: 0°41′0″S 34°46′0″E / 0.68333°S 34.76667°E | |
Nchi | Kenya |
---|---|
Kaunti | Kisii |
Idadi ya wakazi | |
- Wakazi kwa ujumla | 83,460 |
Tovuti: www.kisii.com |
Kisii ni mji upatikanao Kusini Magharibi mwa Kenya. Huu ndio mji mkubwa wa biashara katika miinuko ya Gusii. Mji huu pia huitwa Bosongo au Getembe
Kisii ndio makao makuu ya Kaunti ya Kisii. Awali ulikuwa makao makuu ya Wilaya ya Kisii kwa ujumla kabla ya wilaya hiyo kugawanywa na kuzaa Wilaya ya Nyamira na Wilaya ya Gucha. Hata hivyo bado mji huo uliendelea kuzifaidi wilaya hizi na Nyanza kusini kwa ujumla, hasa kibiashara.
© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search