Kisii

Kisii, Kenya
Jiji la Kisii
Jiji la Kisii is located in Kenya
Jiji la Kisii
Jiji la Kisii

Mahali pa mji wa Kisii katika Kenya

Majiranukta: 0°41′0″S 34°46′0″E / 0.68333°S 34.76667°E / -0.68333; 34.76667
Nchi Kenya
Kaunti Kisii
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 83,460
Tovuti:  www.kisii.com

Kisii ni mji upatikanao Kusini Magharibi mwa Kenya. Huu ndio mji mkubwa wa biashara katika miinuko ya Gusii. Mji huu pia huitwa Bosongo au Getembe

Kisii ndio makao makuu ya Kaunti ya Kisii. Awali ulikuwa makao makuu ya Wilaya ya Kisii kwa ujumla kabla ya wilaya hiyo kugawanywa na kuzaa Wilaya ya Nyamira na Wilaya ya Gucha. Hata hivyo bado mji huo uliendelea kuzifaidi wilaya hizi na Nyanza kusini kwa ujumla, hasa kibiashara.


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search