Kithai

Eneo la Kithai.
Eneo la Kithai.

Kithai ni lugha ya taifa na lugha rasmi ya nchini Thailand pamoja na kuwa lugha mama ya Wathai, kundi kubwa la watu nchini Thailand.

Karibu watu milioni 70/75 wanazungumza lugha hiyo[1].

Ni lugha muhimu zaidi kati ya lugha za Kitai, ambazo zinaunda tawi la lugha za Kra-Dai.

  1. Peansiri Vongvipanond (Summer 1994). "Linguistic Perspectives of Thai Culture". paper presented to a workshop of teachers of social science. University of New Orleans. uk. 2. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 20 Novemba 2012. Iliwekwa mnamo 26 Aprili 2011. The dialect one hears on radio and television is the Bangkok dialect, considered the standard dialect.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)

© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search