Kiukhwejo

Kiukhwejo ni lugha ya Kibantu nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati inayozungumzwa na Waukhwejo. Mwaka wa 1996 idadi ya wasemaji wa Kiukhwejo imehesabiwa kuwa watu 2000. Kufuatana na uainishaji wa lugha za Kibantu wa Malcolm Guthrie Kiukhwejo iko katika kundi la A80.


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search