Kundi

Kundi ni idadi ya watu au vitu vilivyopo, vimekusanyika, au vinavyowekwa pamoja. Neno hilo limekuwa likitumika mara nyingi kuonyesha mkusanyiko wa watu, wanyama, ndege wa angani au wadudu. ambapo mkusanyiko huo hutokana ana kuwepo kwa kufanana kwa maana ya tabia au muonekano wao.


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search