KwaZulu-Natal

Mkoa wa Zulu-Natal
KwaZulu-Natal
Eneo 92,100 km²
Wakazi(2001) 9,426,019
Lugha Kizulu (80.6%)
Kiingereza (13.6%)
Kixhosa (2.3%)
Kiafrikaans (1.5%)
Wakazi kimbari Waafrika Weusi(85.3%)
Wenye asili ya Asia (8.5%)
Wazungu(4.7%)
Chotara(1.5%)
Mji Mkuu Pietermaritzburg
’‘‘Mji Mkubwa’’’ Durban
Waziri Mkuu S'bu Ndebele
(ANC)
Mahali pa KwaZulu-Natal
Ramani ya KwaZulu-Natal

KwaZulu-Natal ni moja kati ya majimbo tisa ya Afrika Kusini. Imepakana na Eswatini, Msumbiji, Lesotho, Bahari Hindi na majimbo ya Afrika Kusini ya Mpumalanga, Rasi ya Mashariki na Dola Huru. Jimbo liliundwa 1994 kwa kuunganisha jimbo la Natal na bantustan ya KwaZulu. Mji mkuu ni Pietermaritzburg.


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search