Luanda


Jiji la Luanda
Nchi Angola
Mandhari kutoka juu
Luanda katika Angola
Luanda inavyoonekana kutoka angani

Luanda (kirefu: São Paulo de Luanda: pia Loanda) ni mji mkuu pia mji mkubwa wa Angola ikiwa na wakazi 2,487,484 (katika rundu la jiji 7,805,000) wanaongezeka haraka kutoka ndani na nje ya nchi na ya bara la Afrika.


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search