Lugha

Mawasiliano kwa lugha ya ishara ya Kimarekani

Lugha (kutoka neno la Kiarabu: لغة) ni utaratibu wa kuwasiliana kati ya binadamu (wengine wanadai hata kati ya viumbe wenye akili).

Somo la lugha linaitwa maarifa ya lugha au isimu.

Mwaka wa 2008 ulikuwa Mwaka wa Lugha wa Kimataifa.


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search