Lugha ya kigeni ni lugha yoyote ambayo haipatikani katika mazingira ya mtoto, hivi kwamba hawezi kujifunza bila kufundishwa. Au ni lugha tofauti na ile ya nchi yake asili.
Lugha zinazosomwa zaidi namna hiyo duniani ni Kiingereza, Kifaransa na Kichina.
Rich TVX News Network Site
Rich TVX News Network Info
© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search