Majina ya Yesu katika Agano Jipya ni namna mbalimbali za kumuita kwa heshima na katika jitihada za kuweka wazi yeye ni nani kweli, tena ni nani kwetu sisi binadamu.[1][2][3][4][5]
Pamoja na jina Yesu alilopewa alipotahiriwa siku ya nane baada ya kuzaliwa[6][7][4][8][9] na Kristo,[10] [11][12][13] katika Agano Jipya anaitwa kwa namna nyingine 196[14]kama vile:
© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search