Mwaka wa liturujia |
---|
Magharibi |
Mashariki |
Mama wa Mungu (kwa Kigiriki Θεοτόκος, Theotókos; kwa Kilatini Deipara au Dei genetrix, yaani "Mzaa Mungu") ni sifa kuu ambayo Wakristo wengi wanampatia Bikira Maria mama wa Yesu Kristo.
© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search