Mashariki ya Kati

Mashariki ya Kati pamoja na Uturuki.

Mashariki ya Kati (kwa Kiingereza Middle East) ni namna ya kutaja sehemu kubwa ya Asia ya Magharibi pamoja na Afrika ya kaskazini-mashariki, hasa Misri.

Kwa kawaida nchi zifuatazo huhesabiwa humo:

Nchi hizo zinatajwa pamoja kwa sababu zina historia ya pamoja na utamaduni wa karibu.


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search