Maya

Hekalu - piramidi ya Kimaya.
Ukurasa kutoka kitabu cha Kimaya kwa mwandiko ya hiroglifi.

Maya ni jina la ustaarabu uliostawi kusini mwa Meksiko ya leo (rasi ya Yucatan) pamoja na Gwatemala, Belize na sehemu za Honduras na El Salvador kuanzia mwaka 2000 hivi KK hadi waliposhindwa na Wahispania kutoka Ulaya (karne ya 16 na ya 17 BK).


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search