Mkoa wa Rukwa


Mkoa wa Rukwa
Mahali paMkoa wa Rukwa
Mahali paMkoa wa Rukwa
Mahali pa Mkoa wa Rukwa katika Tanzania
Majiranukta: 7°0′S 31°30′E / 7.000°S 31.500°E / -7.000; 31.500
Nchi Tanzania
Wilaya 4
Mji mkuu Sumbawanga
Serikali
 - Mkuu wa Mkoa Joachim Wangabo
Eneo
 - Jumla 22,792 km²
Idadi ya wakazi (2022)
 - Wakazi kwa ujumla 1,540,519
Tovuti:  http://www.rukwa.go.tz/
Mkoa wa Rukwa kabla haujamegwa upande wa kaskazini (2012).

Mkoa wa Rukwa ni mmojawapo kati ya mikoa 31 ya Tanzania wenye postikodi namba 55000.

Unapakana na mikoa ya Kigoma, Tabora na Katavi upande wa kaskazini, mkoa wa Mbeya upande wa mashariki, Zambia kusini na upande wa magharibi Ziwa Tanganyika lililo mpaka na Kongo pia.

Makao makuu ya mkoa ni Sumbawanga.

Kabla ya kumegwa mwaka 2012 eneo la mkoa lilikuwa takriban km² 70,000. Kwa sasa lina kilomita ya mraba 22,792.

Kusini mwa mkoa liko ziwa Rukwa ambalo ni kati ya maziwa makubwa ya Afrika ya Mashariki.


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search