Moja

Mabadiliko katika namna ya kuandika moja.

Moja ni namba ya kwanza na inafuatwa na mbili. Kabla yake kuna sifuri tu. Kwa kawaida inaandikwa 1 lakini I kwa namba za Kiroma na ١ kwa zile za Kiarabu. Namba yoyote ikizidishwa kwa moja inabaki ileile.


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search