Mongolia

Монгул Улс
Mongol Uls

Jamhuri ya Mongolia
Bendera ya Mongolia Nembo ya Mongolia
Bendera Nembo
Kaulimbiu ya taifa: "Dayar Mongol"
Wimbo wa taifa: Bügd Nairamdakh Mongol
Lokeshen ya Mongolia
Mji mkuu Ulaanbaatar
47°55′ N 106°53′ E
Mji mkubwa nchini Ulaanbaatar
Lugha rasmi KiMongolia
Serikali Demokrasia ya kibunge
Khaltmaagiin Battulga
Luvsannamsrain Oyun-Erdene
Uhuru
Kutangazwa
Kutoka Uchina
11 Julai 1921
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
1,564,116 km² (18th)
0.43
Idadi ya watu
 - Januari 2020 kadirio
 - 2000 sensa
 - Msongamano wa watu
 
3,278,290 (134th)
2,650,952
1.97/km² (238th)
Fedha Tugrug (MNT)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
(UTC+7)
(UTC+8)
Intaneti TLD .mn
Kodi ya simu +976

-



Mongolia (kwa Kimongolia: Монгол Улс, mongol uls) ni nchi ya bara la Asia.

Imepakana na nchi za Urusi na Uchina.

Ni nchi kubwa ya 19 duniani lakini kuna wakazi wachache tuː jumla milioni 2.6 hivyo msongamano wa watu ni mdogo sana.

Sehemu za kusini mwa Mongolia ya kihistoria ziko ndani ya Jamhuri ya Watu wa China.


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search