Mozaiki

Mtindo wa Mozaiki ya Kiarabu katika kanisa kuu la Monreale, Sisilia, Italia, karne ya 12).
Mozaiki ya mawe mweupe na meusi kwenye sakafu ya nyumba ya Ugiriki ya Kale
Nakshi ya mawe katika sakafu ya ikulu ya Shapur I huko Bishapur.
Nakshi huko Uruk, Mesopotamia Milenia ya 3 KK.
Nakshi ya Kaisari Fransisko Yosefu wa Austria.
Nakshi ya Ugiriki wa Kale huko Pella, karne ya 4 KK, Pella Archaeological Museum.
Nakshi ya Kiroma huko Kartago. Iko katika Bardo Museum, Tunisia.
Nakshi ya Kiroma aina ya Cave canem ('Jihadhari na mbwa').
Sehemu ya The Great Pavement, nakshi ya Kiroma ya mwaka 325 huko Woodchester, Gloucestershire, Uingereza.
Kapteni wa Kigoti, kutoka ikulu ya Konstantinopoli, Uturuki.
Mtume Petro katika Chora Church.
Mtakatifu Demetrio katika Basilika lake huko Thessalonike.
Kristo Pantocrator katika Hagia Sophia, Konstantinopoli.
Theodoro Metochites akitoa Chora Church kwa Kristo.
Nakshi katika Santa Maria Maggiore, Roma, Italia.
Batizio ya Firenze.
Nakshi katika Basilika la Mt. Petro, Vatikano.
Yerusalemu katika nakshi maarufu kama Madaba Map.
Kugeuka sura kwa Yesu katika monasteri ya Mt. Katerina, Mlima Sinai, Misri.
Sehemu ya nakshi ya sakafuni katika kanisa la Masada.
Sehemu ya nakshi ya sakafuni katika kanisa la Petra.
Nakshi ya karne ya 12 huko Kiev, Ukraina, inayomuonyesha Mt. Demetrio.
Sehemu ya nakshi ya sakafuni katika sinagogi la Sepphoris
Nakshi ya dhahabu katika kuba ya Mskiti mkuu wa Cordoba, Hispania (965-970).
Mbinu mojawapo ya kutengeneza nakshi Li Jiang, Yunnan, China.
Wasanii wa nakshi wakipamba kanisa la Sagrada Família, Barcelona, Hispania.

Mozaiki (au mosaiki) ni mtindo wa pekee wa uchoraji picha unaotumia vipande vidogo vya kioo cha rangi au vijiwe au vigae vya rangi mbalimbali vinavyounganishwa kuwa picha. Kunawezekana pia kutumia vipande vya vitu vyovyote vyenye rangi vinavyoweza kuunganishwa kuwa picha.


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search