Msaada:Jamii

Jamii (kwa Kiingereza: category) ni namna yetu ya kupanga makala kwa makundi. Ukiweka matini [[Jamii:JINA-LA-JAMII]] chini kabisa kwenye makala fulani, programu ya MediaWiki itaonyesha jamii hiyo chini ya makala hiyo na kuunda "ukurasa wa jamii" tunapokuta orodha ya makala zote zenye alama hiyo.

Kurasa hizo za jamii zinasaidia kuangalia makala zinazohusiana.

Mara nyingi makala itakuwa na jamii zaidi ya moja.

Mfano: Watu. Mtu ataingizwa katika jamii za raia wa nchi fulani, jamii ya watu wenye kazi au fani fulani, jamii ya watu waliozaliwa mwaka fulani, kama ameshaaga dunia jamii ya watu waliofariki mwaka fulani.


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search