Mtaguso wa kwanza wa Lyon

Mtaguso wa kwanza wa Lyon uliitishwa na Papa Inosenti IV (1243-1254) tarehe 24 Juni 1245 akiwa huko Lyon (Ufaransa), alipokimbilia usalama. Waliushiriki karibu viongozi 150 wa Kanisa Katoliki, ambalo linauhesabu kuwa mtaguso mkuu wa 13.


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search