Mtaguso wa pili wa Laterano

Basilika la Mtakatifu Yohane huko Laterano ambamo mtaguso ulifanyika.

Mtaguso wa pili wa Laterano, uliofanyika kuanzia tarehe 4 hadi 11 Aprili 1139 chini ya Papa Inosenti II (1130-1143), unahesabiwa na Kanisa Katoliki kuwa mtaguso mkuu wa kumi.

Ni wa pili kufanyika Magharibi, kwenye Kanisa kuu la Roma (Italia).


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search