Mwanzilishi ni jina linalotumika kwa mtu aliyeanzisha muundo au jambo fulani.
Katika historia ya utawa linamaanisha hasa mwanamume au mwanamke aliyejaliwa karama ya pekee iliyovuta watu wengine hata likatokea shirika.
© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search