Nairobi






Nairobi

Bendera

Nembo
Nairobi is located in Kenya
Nairobi
Nairobi

Mji wa Nairobi (Kenya)

Majiranukta: 1°17′S 36°49′E / 1.283°S 36.817°E / -1.283; 36.817
Nchi Bendera ya Kenya Kenya
Kaunti Nairobi
Idadi ya wakazi (2019)
 - Wakazi kwa ujumla 4,397,073
Tovuti:  nairobi.go.ke
Sanamu ya Jomo Kenyatta.

Nairobi ni mji mkuu wa jamhuri ya Kenya na vilevile mojawapo ya kaunti za Kenya.

Kulingana na sensa ya mwaka 2019, Nairobi ina wakaaji 4,397,073 katika eneo la km2 696 (sq mi 269).

Pamoja na vitongoji vyake, Nairobi ni mji wa 12 kwa ukubwa barani Afrika.

Jina Nairobi limetokana na neno la Kimaasai, Enkarenairobi, linalomaanisha "mahali penye maji baridi."

Lugha zote za Kenya huzungumzwa Nairobi, lakini hasa ni Kiingereza na Kiswahili pamoja na Sheng.


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search