Namba za simu Tanzania

Namba za simu nchini Tanzania zinatolewa chini ya kanuni za Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (Tanzania Communication Regulatory Authority - TCRA).

Mamlaka hii inatoa laiseni kwa ajili ya makampuni ya huduma za mawasiliano pamoja na simu na intaneti. Kanuni zake zinatawala fomati za namba za simu.


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search