Ndui

Mtoto wa Bangladesh aliyepatwa na ndui mwaka 1973.

Ndui (kwa Kiingereza: smallpox) ilikuwa ugonjwa wa kuambukiza uliosababishwa na aina mbili za virusi: Variola major na Variola minor.

Ulikuwa unaleta kifo cha waliopatwa kwa asilimia 30-35, lakini zaidi kati ya watoto.

Walionusurika wengi waliachwa na makovu ya kudumu hasa katika uso.


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search