Nepal

नेपाल
Nepāl
Bendera ya Nepal [[Picha:|110px|Nembo ya Nepal]]
Bendera Nembo
Kaulimbiu ya taifa: जननी जन्मभूमिष्च स्वर्गादपि गरीयसी  (Sanskrit)
"Mama na Taifa heri ya Mbinguni"
Wimbo wa taifa: Rastriya Gaan
Lokeshen ya Nepal
Mji mkuu Kathmandu
27°42′ N 85°19′ E
Mji mkubwa nchini Kathmandu
Lugha rasmi Kinepali
Serikali Jahmuri ya shirikisho
Bidhya Devi Bhandari (विद्या देवी भण्डारी)
Pushpa Kamal Dahal
Maungano ya temi za Nepal
{{{established_events}}}
{{{established_dates}}}
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
147,516 km² (ya 93)
2.8
Idadi ya watu
 - Julai 2022 kadirio
 - 2011 sensa
 - Msongamano wa watu
 
30,666,598 (ya 49)
26,494,504
180/km² (ya 62)
Fedha Rupia ya Nepal (NRs.)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
NPT (UTC+5:45)
(haitumiki) (UTC+5:45)
Intaneti TLD .np
Kodi ya simu +977

-


Ramani ya Nepal

Nepal ni nchi ya Asia ya Kusini iliyoko kwenye milima ya Himalaya na inayopakana na Uhindi na China.

Jina rasmi ni jamhuri ya kidemokrasia ya shirikisho la Nepal.

Mlima Everest ambao ni mlima mrefu kuliko yote duniani uko Nepal.

Mji mkuu ni Kathmandu.


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search