New York

Mji wa New York


Jiji la New York City
Jiji la New York City is located in Marekani
Jiji la New York City
Jiji la New York City

Mahali pa mji wa New York City katika Marekani

Majiranukta: 40°42′15″N 73°55′5″W / 40.70417°N 73.91806°W / 40.70417; -73.91806
Nchi Marekani
Jimbo New York
Wilaya New York
Kings
Queens
Bronx
Richmond
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 8,336,697
Tovuti:  www.nyc.gov
Majengo marefu ya kisiwa cha Manhattan katika mji wa New York City

New York (Kiing.: "New York City") ni jiji kubwa kabisa Marekani na kati ya miji mikubwa duniani. Iko kwenye pwani la kaskazini-mashariki ya Marekani katika jimbo la New York.


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search