Nikolasi wa Myra

Nikolasi wa Myra jinsi alivyochorwa na mtawa Mrusi katika karne ya 12.

Nikolasi wa Myra (Mtakatifu Nikolasi kwa Kigiriki Ἅγιος Νικόλαος agios nikolaos; 2706 Desemba 343),[1][2] alikuwa askofu wa mji wa Myra akaendelea kuwa mmoja wa watakatifu maarufu zaidi wa Kanisa la Kikristo.

Tarehe 6 Desemba ni sikukuu yake[3] inayosheherekewa na Wakristo Wakatoliki, Waorthodoksi na pia na sehemu ya Waprotestanti katika Ulaya ya kati na kaskazini.

  1. "Who is St. Nicholas?". St. Nicholas Center. Iliwekwa mnamo 7 Desemba 2010.
  2. "St. Nicholas". Orthodox America. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2011-09-07. Iliwekwa mnamo 7 Desemba 2010.
  3. Martyrologium Romanum

© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search