Ogani

Ogani ni sehemu ya mwili au mmea inayofanya kazi fulani ya pekee.

Ogani huundwa na seli maalumu zilizopo kwa ajili ya kufanya kazi hiyo maalumu ya ogani husika.

Mifano ya ogani za binadamu (pamoja na wanyama wengi kwa jumla) ni moyo, mapafu, ini na kadhalika.


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search