Omani

سلطنة عُمان
Sulṭanat ʿUmān

Usultani wa Omani
Bendera ya Omani Nembo ya Omani
Bendera Nembo
Kaulimbiu ya taifa: (hakuna)
Wimbo wa taifa: Nashid as-Salaam as-Sultani
Lokeshen ya Omani
Mji mkuu Maskat
23°61′ N 58°54′ E
Mji mkubwa nchini Muskat
Lugha rasmi Kiarabu
Serikali Ufalme
Haitham bin Tariq Al Said
{{{sovereignty_type}}}
Waosmani kufukuzwa
1741
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
309,500 km² (ya 70)
(kidogo sana)
Idadi ya watu
 - Julai 2019 kadirio
 - 2010 sensa
 - Msongamano wa watu
 
4,975,0001 (ya 129)
2,773,479
13/km² (ya 216)
Fedha Rial (OMR)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
(UTC+4)
(UTC+4)
Intaneti TLD .om
Kodi ya simu +968

-

1Ndani ya idadi ya wakazi kuna watu 577,293 wasio raia



Ramani ya Omani

Usultani wa Omani (kwa Kiarabu:سلطنة عُمان Saltanat ˤUmān) ni nchi ya Bara Arabu katika Asia ya Magharibi.

Imepakana na Maungano ya Falme za Kiarabu, Saudia na Yemen, halafu Bahari Hindi na Ghuba ya Omani.

Utawala wa nchi hufuata muundo wa kifalme usiobanwa na masharti ya katiba.

Mji mkuu ni Maskat (Omani).


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search