Papa Fransisko, S.I. (kwa Kilatini Franciscus, jina la awali Jorge Mario Bergoglio) ni askofu wa Roma, na hivyo pia Papa wa Kanisa Katoliki duniani kote, tangu tarehe 13 Machi 2013.
Amemfuata Papa Benedikto XVI akiwa wa 266 katika orodha ya mapapa.
© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search