Pato la taifa

Nchi kulingana na pato lake la taifa mnamo 2014.

Pato la taifa au jumla ya pato la taifa (kifupi: JPT) ni kipimo cha thamani ya sokoni ya bidhaa na huduma zote zinazozalishwa ndani ya nchi katika muda fulani.[1]

JPT hutumiwa kwa kawaida na serikali ya nchi ili kupima afya ya uchumi wake. Kipimo hicho mara nyingi hurekebishwa kabla ya kufikiriwa kuwa kiashiria cha kuaminika.[2]

  1. Duigpan, Brian (2017-02-28). "gross domestic product". Encyclopedia Britannica (kwa Kiingereza). Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2023-02-25. Iliwekwa mnamo 2023-02-23.
  2. "What Is GDP and Why Is It So Important to Economists and Investors?" (kwa Kiingereza). Investopedia. Iliwekwa mnamo 2023-05-05.

© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search