Pembetatu

Pembetatu ni umbo bapa lenye pande tatu zisizonyoka na kukutana kwenye pembe tatu za kila kona.

Jumla ya kiwango cha pembe zote tatu ni nyuzi 180. Eneo la pembetatu ni nusu kitako mara kimo.

Pembe zatajwa kwa kawaida kwa herufi za kwanza katika alfabeti ya Kigiriki yaani alfa, beta na gamma.

Elimu inayoshughulia pembetatu ni jiometria na hsasa tawi la trigonometria.


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search