Posta

Stempu ya posta ya Kenya, Uganda na Tanganyika mnamo mwaka 1954.

Posta ni mfumo wa kusafirisha barua na vifurushi kwa wapokeaji. Kuna makubaliano ya kimataifa ya Umoja wa Posta Duniani (Universal Postal Union) yanayounda kanuni za aina, ukubwa na uzito wa barua na vifurushi vinavyopokelewa.


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search