Q

Alfabeti ya Kilatini
(kwa matumizi ya Kiswahili)
Aa Bb Cc ch Dd
Ee Ff Gg Hh Ii Jj
Kk Ll Mm Nn Oo Pp
Qq Rr Ss Tt Uu Vv
Ww Xx Yy Zz

Q ni herufi ya 17 katika alfabeti ya Kilatini ambayo ni pia alfabeti ya Kiswahili. Haitumiki katika mwandishi wa maneno ya Kiswahili isipokuwa kwa maneno ya kigeni.

Hapo sauti yake huwa ni "k". Hutokea mara nyingi pamoja na "u" kama "Qu" kwa sauti za "ku", "kw" au "kv". Hutumiwa pia kwa sauti ya ق (qaf) au "k ya shingoni" katika maneno ya Kiarabu kama vile "Qatar" yakiandikwa kwa alfabeti ya Kilatini.


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search