Qatar

دولة قطر
Dawlat Qatar

State of Qatar
Bendera ya Qatar Nembo ya Qatar
Bendera Nembo
Kaulimbiu ya taifa:
Wimbo wa taifa: As Salam al Amiri
Lokeshen ya Qatar
Mji mkuu Doha
25°18′ N 51°31′ E
Mji mkubwa nchini Doha
Lugha rasmi Kiarabu, Kiingereza
Serikali Ufalme
Tamim bin Hamad Al Thani
(تميم بن حمد بن خليفة آل ثاني)
Khalid bin Khalifa bin Abdul Aziz Al Thani
(خالد بن خليفة بن عبد العزيز آل الثاني)
Uhuru1
 
3 Septemba 1971
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
11,581 km² (ya 158)
„kidogo sana“
Idadi ya watu
 - Agosti 2020 kadirio
 - 2010 sensa
 - Msongamano wa watu
 
2,795,484 (ya 142)
1,699,435 [1]
176/km² (ya 76)
Fedha Riyal (QAR)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
(UTC+3)
(UTC+3)
Intaneti TLD .qa
Kodi ya simu +974
1 Qatar ilitawaliwa na familia ya Al Thani tangu karne ya 19 lakini ilikuwa chini ya Uingereza katika karne ya 20


Qatar (kwa Kiarabu: قطر ) ni emirati ndogo wa Uarabuni kwenye rasi ya Qatar ambayo ni sehemu ya rasi kubwa ya Uarabuni.

Imepakana na Saudia upande wa kusini. Mipaka mingine ni ya Ghuba ya Uajemi. Kisiwa cha Bahrain kiko karibu.

Mji mkuu wa Qatar ni Doha.


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search