Rhode Island

Sehemu ya Jimbo la Rhode Island








Rhode Island
Little Rhody

Bendera

Nembo
Nchi Bendera ya Marekani Marekani
Mji mkuu Providence
Eneo
 - Jumla 4,002 km²
 - Kavu 2,706 km² 
 - Maji 1,295 km² 
Tovuti:  http://www.ri.gov/

Rhode Island ni jimbo la Marekani na jimbo dogo nchi nii. Jimbo uko la Atlantiki na upande wa mashariki ya nchi.

Mji mkuu na mji mkubwa ni Providence. Imepakana na Massachusetts na Connecticut. Jimbo lina wakazi wapatao 1,050,788 (2008) wanaokalia katika eneo la kilomita za mraba zipatazo 4,002.

Ilikuwa moja ya koloni 13 asilia za Uingereza zilizoasi dhidi ya nchi mama tangu mwaka 1776 na kuanzisha Maungano ya Madola ya Amerika.


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search