Sana'a

Sana'a - صنعاء
Habari za kimsingi
Mkoa Mkoa wa Sana'a
Anwani ya kijiografia Latitudo: 15°21'N - Longitudo: 44°12'E
Kimo 2,200 m juu ya UB
Eneo ?? km²
Wakazi takriban milioni 2
Msongamano wa watu watu ?? kwa km²
Simu +967 (nchi), 1 (mji)
Mahali

Sana'a (Kiarabu: صنعاء) ni mji mkuu wa Yemeni mwenye wakazi 1,747,627 (2004). Iko kwa 15°21'N na 44°12'E kwenye nyanda za juu za Yemen kwenye kimo cha 2,200 m juu ya UB.

Mji uko takriban 300 km kaskazini ya Aden ambayo ni mji mkubwa wa nchi.


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search