Saudia

المملكة العربية السعودية
Al-Mamlaka al-'Arabiyya as-Sa'ūdiyya

Ufalme wa Uarabuni wa Saudia
Bendera ya Saudi Arabia Nembo ya Saudi Arabia
Bendera Nembo
Kaulimbiu ya taifa: لا إله إلا الله محمد رسول الله(Kiarabu)
Lā ilāhā illā-llāhu; muhammadun rasūlu-llāhi
"Hakuna mungu ila Allah; Muhammad ni mtume wa Allah"
Wimbo wa taifa: ash al malik ("Asifiwe mfalme")
Lokeshen ya Saudi Arabia
Mji mkuu Riyadh
24°39′ N 46°46′ E
Mji mkubwa nchini Riyad
Lugha rasmi Kiarabu
Serikali Ufalme
Salman bin Abdulaziz
Mohammed bin Salman
Kuanzishwa
Ilitangazwa
Ilitambuliwa
Iliunganishwa



8 Januari 1926
20 Mei 1927
23 Septemba 1932
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
2,149,690 km² (ya 13)
0.7%
Idadi ya watu
 - 2019 kadirio
 - Msongamano wa watu
 
34,218,1691 (ya 40 2)
15/km² (ya 174)
Fedha Riyal (SAR)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
(UTC+3)
+3 (UTC)
Intaneti TLD .sa
Kodi ya simu +966

-

1 Kadirio la jumla ya wakazi pamoja na watu 5,576,076 wasio wazalendo


Ufalme wa Uarabuni wa Saudia (المملكة العربية السعودية, al-mamlaka al-'arabiyya as-sa'audiyya ) ni nchi kubwa kati ya nchi za Bara Arabu.

Imepakana na Yordani, Iraq, Kuwait, Qatar, Bahrain, Falme za Kiarabu, Oman na Yemen.

Kuna pwani ya Ghuba la Uajemi upande wa kaskazini-mashariki na Bahari ya Shamu upande wa magharibi.


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search