Saumu

Sura ya Buddha aliyekonda kutokana na juhudi zake kali. Gandhara, karne ya 2 au ya 3 BK, British Museum.
Mwisho wa mfungo mskitini.

Saumu (kutoka neno la Kiarabu صوم, sawm, linalotokana na Kiaramu ܨܘܡܐ, ṣawmā. Maana yake ni "kujikatalia", kama neno la Kiebrania tsom)[1] ni tendo la kujinyima chakula kwa sababu za kidini, ili kuweka roho huru kutoka utawala wa mwili wake, iweze kuinuka kwa Mungu na kutafakari kwa urahisi zaidi.

Kuna pia malengo mengine ya saumu, kama vile kushikamana na mafukara.

  1. Fasting (Sawm) Archived 2012-09-06 at Archive.today, muslimliving.org

© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search