Sauti

Sauti hutoka kwenye chanzo, mfano ngoma.

Sauti (kutoka Kiarabu صوت saut) inamaanisha kile tunachosikia kwa masikio yetu.

Kifizikia sauti ni uenezaji wa mabadiliko ya densiti na shinikizo katika midia kama kiowevu, gesi au gimba manga kwa njia ya wimbisauti.


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search