Sayansi

Galileo Galilei, baba wa sayansi ya kisasa.[1]: Vol. 24, No. 1, p. 36 

Sayansi ni maarifa yanayopatikana kwa kufanya vitendo, kutazama na kujaribu kweli ambazo zimebainishwa hazijathibitishwa.[2]

Mara nyingi Galileo Galilei anahesabiwa kuwa baba wa sayansi ya kisasa.

  1. "Galileo and the Birth of Modern Science". American Heritage of Invention and Technology. 24.
  2. Ufafanuzi katika Kamusi ya Kiswahili Sanifu: "sayansi /sajansi/ nm (-) [i—] elimu inayotokana na uchunguzi, majaribio, vipimo na kuthibitishwa kwa muda uliopo. " Ufafanuzi katika Kamusi Kuu: "sayansi - tawi la maarifa linalohusu nadharia, vipimo, uchunguzi wa hatua kwa hatua na uthibitishaji wa kuwepo au kutokuwepo kwa kitu au jambo katika hali halisi "

© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search